News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Thursday, 28 December 2017

YANGA BILA MASTER PASI "AJIB" DHIDI YA MBAO FC

Picha inayohusiana

Pamoja na wachezaji kadhaa majeruhi ambao itawakosa katika mechi yao dhidi ya Mbao FC, Jumapili, Yanga itamkosa Ibrahim Ajibu.

Yanga haitamtumia Ajibu katika mechi dhidi ya Mbao FC baada ya kuwa na kadi tatu za njano.



Pamoja na Ajibu, Obrey Chirwa ambaye alianzisha mgomo akitaka kulipwa fedha zake za usajili zilizobaki, wengine itakaowakosa ni Thaban Kamusoko na Donald Ngoma.
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment