News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Thursday, 21 December 2017

Man United yaitisha Chelsea kumng’oa Hazard



Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ameamua kumfungia kazi mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard kwa kutaka kumrudisha kwenye himaya yake.
Mourinho ameingia kwenye vita hiyo ya kutaka kumsajili nyota huyo, huku akijua kwamba tayari Chelsea imempandia dau baada ya kumuahidi kumpa mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki kwa mkataba wa miaka minne.
Ofa hiyo mpya ya Hazard itategemea na uamuzi wake kuendelea kubaki Stamford Bridge.
Hata hivyo, Mourinho amejikuta akipambana na timu vigogo za Real Madrid, PSG ambazo zimeshatua kumuwinda nyota huyo. USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA

Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment