Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho ameamua kumfungia kazi mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard kwa kutaka kumrudisha kwenye himaya yake.
Mourinho ameingia kwenye vita hiyo ya kutaka kumsajili nyota huyo, huku akijua kwamba tayari Chelsea imempandia dau baada ya kumuahidi kumpa mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki kwa mkataba wa miaka minne.
Ofa hiyo mpya ya Hazard itategemea na uamuzi wake kuendelea kubaki Stamford Bridge.




0 comments :
Post a Comment