News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday, 22 December 2017

LIPULI KUIKAMUA SIMBA HELA NDEFU:YAWAITA MEZANI KWA STYLE HII




Uongozi wa klabu ya Lipuli FC umethibitisha kupokea barua kutoka Simba inayomtaka beki Asante Kwasi.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe alisema wamepeleka barua kwa Lipuli FC baada ya kugundua bado ana mkataba na klabu hiyo pamoja na wakala wake pia.

Lakini leo, Lipuli FC kupitia taarifa katika klabu yao wamesema wamepokea barua na wanaikaribisha Simba mezani.

“Tayari tumepokea barua yao, wanamhitaji Kwasi na sisi hatuna shida, tunawakaribisha mezani.”
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About