News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday, 3 October 2017

RAIS WA BARCELONA ASEMA NDIO TUTAJITOA LIGI YA SPAIN NA TUTAENDA KUCHEZA LIGI YA....

Tokeo la picha la BARCELONA FC
Kama una mashaka juu ya Barcelona kuiacha Hispania na Ligi Kuu nchini humo, basi bila shaka rais wa klabu hiyo Jose Maria Bartomeu amekuondoa mashaka juu ya suala hilo.
Rais huyo amesema kwamba Barcelona itaondoka Hispania endapo Katalunya itashinda kwenye kura za kutaka uhuru wa jimbo hilo.
Hiyo inamaana kwamba Barca watachagua ligi nyingine ya kushiriki kama alivyothibisha rais huyo.
USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment