News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday, 1 October 2017

ARSENAL TARATIBU WANAENDA KAMA HAWAENDI VILE!! YAENDELEZAREKODI YA KUFANYA VIZURI MBELE YA WAGENI WA LIGI YAWAPIGA 2G BRIGHTON


Monreal managed to get the ball past a crowd of Brighton players to give his side the lead midway through the first half

 Arsenal imeendelea matumaini ya kurejea katika nafasi nne za juu kwenye Premier League baada ya kutoa kichapo cha mabao 2-0 ilipo pepetana na Brighton & Hove Albion.
Timu hizo zimeumana leo Jumapili kwenye Uwanja wa Emirates ambapo Arsenal sasa imefikisha mabao 13 katika michezo saba.
The Spanish full back (second right) leaps in the air as Hector Bellerin (left) and Shkodran Mustafi celebrate his goal
Wafungaji wa mabao hayo ni beki Nacho Monreal katika dakika ya 16 na Alex Iwobi katika dakika ya 56.

Iwobi celebrates in front of the Arsenal fans after putting his side in firm control of the Premier League clashUshindi huo umekuja wakati ambapo Wenger anatimiza miaka 21 tangu aanze kuinoa Arsenal.
Monreal is congratulated by his Arsenal team-mates after scoring his second goal for the north London outfit

Arsenal (3-4-2-1): Cech 6; Holding 6.5, Mustafi 6.5, Monreal 6.5; Bellerin 6.5, Xhaka 7 (Elneny 83), Ramsey 6, Kolasinac 6; Iwobi 7.5 (Walcott 71, 5), Sanchez 6.5; Lacazette 6.5 (Giroud 71, 5)
Subs not used: Ospina, Maitland-Niles, Mertesacker, Elneny, Wilshere
Goals: Monreal 16, Iwobi 56 
Manager: Arsene Wenger 6.5
Brighton (4-5-1): Ryan 7; Bruno 6, Duffy 6, Dunk 6.5, Bong 5; March 6.5 (Schelotto 72, 5), Propper 5, Stephens 5, Gross 5.5, Izquierdo 5 (Knockaert 76, 5); Brown 5 (Murray 76, 5)
Subs not used: Krul, Molumby, Suttner, Goldson
Booked: Gross, Duffy 
Manager: Chris Hughton 6
Referee: Kevin Friend 6
Attendance: 59,378
  USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment