News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday, 30 September 2017

BAADA YA SERGIO AGUERO KUPATA AJALI YA GARI, NAVUNJIKA MBAVU: atakua nje kwa kipi hiki soma hapa!!

Sergio Aguero injured in Amsterdam car crash 
Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero amepata ajali ya gari na kudaiwa kuwa amevunjika mbavu mbili alipokuwa jijini Amsterdam nchini Uholanzi, jana Alhamisi.
Imeelezwa kuwa alikuwa nchini humo kuhudhuria tamasha la muziki la mwanamuziki wa Colombia, Maluma.
Sergio Aguero has reportedly been injured in a car crash in Amsterdam
Aguero, 29, ataukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu England dhidi ya Chelsea kwenye Uwanja wa Stamford Bridge, imeshaahamika atakua nje kwa kipindi kisichopungua wiki 4 nje ya uwanja kwa muda gani
Aguero was travelling in a taxi on his way back to the airport following a concert in the city

Aguero was said to have been wearing his seatbelt during the crash but suffered broken ribs
Aguero is said to have been involved in the accident after attending a concert by Maluma (R)

USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment