News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday, 27 September 2017

RASMI DIEGO COSTA ARUDI ATLETICO MADRID


Atletico Madrid have re-signed Diego Costa with the striker set to join on January 1, 2018
Staa wa soka wa kimataifa wa Hispania mwenye asili ya Brazil Diego Costa usiku wa September 26 2017 amefanikiwa kusaini mkataba wa kurejea Atletico Madridkwa mara nyingine tena akitokea Chelsea.
It will be a loan initially until the end of the season before becoming permanent next summer
Diego Costa tayari amepewa jezi namba 18 na Atletico Madrid hivyo tutaanza kumuona akiivaa rasmi mwezi January 1 atakapoanza kuichezea katika mechi za mashindano, Costa amesaini mkataba baada ya kufuzu vipimo vya afya alivyofanyiwa Jumamosi na Jumatatu.
Costa returned to Atletico Madrid to watch his new team-mates beat Sevilla on Saturday
Hata hivyo Diego Costa atajiunga na timu na kuanza kufanya mazoezi lakini hatokuwa na nafasi ya kuichezea hadi dirisha la usajili la majira ya baridi la January litakapofunguliwa, kama utakuwa unakumbuka vizuri Costaalijiunga na Chelsea 2014 akitokea Atletico Madridaliyodumu nayo kwa miaka minne
. * USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA* Millionaire  Ads
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment