News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday, 12 August 2017

WALLACE KARIA NDIYE RAIS MPYA WA TFF ASHINDA KWA KISHINDO

aliyekuwa Kaimu wa TFF Wallace Karia amewabwaga wapinzani wake na kuwa Rais mpya wa TFF.
Wakati Karia ameibuka na kura 99, waliomfuatia wanaonekana kupata hadi chini ya kura 10.
Karia aliyekuwa Kaimu Rais wa TFF, ametwaa nafasi hiyo baada ya mchuano mkali katika uchaguzi mkuu uliofanyika Dodoma.Makamu wa Rais amechukua. Boniphace Wambura
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment