News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday, 18 August 2017

NIYONZIMA AFUNGUKA HAYA BAADA YA UKAME WA MABAO SIMBA SC

Kiungo mpya wa Simba mwenye udambwi udambwi mwingi kwenye soka kwa mara ya kwanza alifunguka yake kuhusiana na Simba kutopata magoli mapema kwenye michezo yao ya kujipima kabla ya kuanza kwa Ligi kuu Tanzania msimu wa 2017/2018.
Akiongea baada ya mchezo wao wa jana dhidi ya Mlandege Fc ya Zanzibar alisema
” Kwanza Tunamshukuru Mungu Tumemaliza salama bila Injury, Tumefight nashukuru Makocha wameona tulipokosea wamenote, siwezi laumu ila nawaomba mashabiki wasikate tamaa maana mechi huwa hazifanani, ya leo imepita  Tunajiandaa na Mechi ya Jumamos
* USISAHAU KULIKE PAGE YETU HAPA*
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment