News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Saturday, 12 August 2017

MUDA MFUPI KABLA YA UCHAGUZI, MGOMBEA MAKAMU RAIS WA TFF ATANGAZA KUJIONDOA

Muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) kufanyika taarifa ni kuwa mgombea mmoja wa nafasi ya makamu wa rais amejiondoka kwenye mchakato huo.
Taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa TFF, Revocatus Kuuli imeeleza kuwa mgombea huyo ni Stephen Mwakibolwa
amefikia maamuzi hayo kwa kuamua yeye mwenyewe kwa sababu binafsi.
Kuuli amesema mgombea huyo ameshawasilisha mapendekezo yake hayo ya mamepitishwa.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment