Tangu alipojiunga na klabu ya Yanga mshambuliaji Ibrahim Ajib amekua akitoa misamiati mbalimbali ambayo baadhi ya wapenzi na mashabiki wa kandanda wamekua wakiyachukulia kama madongo kwa klabu yake ya zamani ya Simba.
Hata hivyo baadhi ya mashabiki wakwenda mbali na kuuzungumzia usajili wa Ajibu kwa sura tifauti huku wakihusisha na mapenzi ya dhati ya mchezaji huyo kwa klabu.
Leo katika pitapita katika mitandao mbalimbali nikakutana na ujumbe huu kutoka kwa mchezaji huyo
Usijishughulishe kuhusu wakati Ujao, haujatimu bado. Ishi wakati uliopo, na uutumie kikamilifu. #KaziKazi. pic.twitter.com/VhyLlAMBqj— Ibrahim Ajibu (@IbrahimAjibu10) July 17, 2017
0 comments :
Post a Comment