TUNAOMBA RADHI SANA SANA SANA WAPENZI WASOMAJI NA WASIKILIZAJI WA REDIO ZETU
Naomba nichukue nafasi hii kuwaomba Radhi wapenzi wa blog yetu najua hapa ndio sehemu pekee mnapopata habari zenye ukweli na uhakika pia ndio sehemu ambayo unaweza ukafungua blog hata ukiwa shemu yeyote kwa kua ni blog yenye maadili na ni blog ambayo utapata habari zote habari za kimichezo ,habari za kisiasa , matukio,Burudani ,Breaking news pamoja na mambo mbali mbali hapa lakini kulikua na tatizo la umeme ambalo lilifanya mambo yawe nnje ya uwezo wetu mpaka wataalamu walivyoweka mambo sawa tunawashukuru Tanesco kwa kutusaidia kuweka mambo sawa
Endelea pia kusikiliza Redio zetu za 24 fm radio kwa kubonyeza HAPA pia endelea kusikiliza redio yetu ya Dini inayoitwa praise 24 radio kwa kubonyeza HAPA unaweza kupata blog zote kali Tanzania kwa pamoja na kuweza kuchagua ipi unahitaji kusoma hapo utapata blog nzuri ambazo hukua unazifahamu jina pia HABARI 24 MEDIA tumekuwekea pamoja bonyeza HAPA
0 comments :
Post a Comment