News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 23 July 2017

ROLNADO APIGIA SIMU NEYMAR NA KUMWAMBIA USITHUBUTU KUJIUNGA PSG ILA NENDA KAJIUNGE NA.......

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amemkataza Neymar kwenda kujiunga na PSG ya Ufaransa iliyotangaza dau nono la kumsajili.
Ronaldo alisema amewasiliana ana mshambuliaji huyo wa Barcelona na kumshauri kutofanya kosa la kwenda kujiunga na klabu hiyo ya Ufaransa.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Ronaldo amekuwa karibuni na Neymar licha ya kuwa kwenye ziara ya China.
Ronaldo aliongeza kuwa ni bora mshambuliaji huyo kama amechoka maisha ya Barcelona aende Manchester United.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment