News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Tuesday 25 July 2017

MORATA APIGA VYENGA VYA KUTOSHA LAKINI MWISHO WA MCHEZO WAHENGA CHELSEA 2- 3 BAYERN

Mshambuliaji mpya, Alvaro Morata aliyesajiliwa Chelsea kwa dau la Pauni Milioni 70 kutoka Real Madrid wiki iliyopita akipasua katikati ya wachezaji wa Bayern Munich katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa leo Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Bayern Munich imeshinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Rafinha dakika ya sita na Thomas Muller mawili dakika ya 11 na 26, wakati ya Chelsea yamefungwa na Marcos Alonso dakika ya 45 na ushei na Michy Batshuayi dakika ya 86
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment