News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Sunday 23 July 2017

LIONEL MESS NA SUAREZ WAMPIGIA MAGOTI NEYMAR ASIONDOKE!!

Lionel Messi (right) and Luis Suarez (centre) have discussed Neymar's proposed move to PSG
Lionel Mess na Luis Suarez pamoja Pique wamempigia magoti Neymar asiondoke na kupuuzia Dau alilowekewa na PSG anbalo kama uhamisho huo utafanikiwa utakua Uhamisho wa Rekodi ya Dunia
Gazeti la Mundo Deportivo limeeleza habari hio imeifanya kambi ya Timu ya Barcelona kua na wasiwasi na wachezaji wenzie hao muda mwingi wamekua wakimsisitiza aachane na dili hilo na habari kutoka katika kambi hio inasema Neymar amesha waambia wachezaji wenzake kwamba  anajiunga na PSG
Mundo Deportivo provide the latest update on Neymar's potential Barcelona exit

Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment