kwa hart yametimia afuzu vipimo vya Afya kujiunga na..........
Kipa wa Manchester City Joe Hart amefuzu vipimo vya afya na kukamilisha usajili wa mkopo kujiunga na West Ham. City wataendelea kulipa sehemu ya mshahara wa 120,000 kwa wiki wa Joe Hart wakati West Ham wanaweza wakawa na nafasi ya kumsajili jumla mwishoni mwa msimu huu.
0 comments :
Post a Comment