News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday 19 July 2017

DAAH!! KUMBE NDIO PICHA LILIVYO:USIKU HUU YANGA YATOA KAULI KUHUSU KIUNGO HARUNA NIYONZIMA PICHA LINAENDELEA....


Mwenyekiti wa kamati ya Usajili ya Timu ya Yanga  leo kwa mara ya mwisho kuhusu mchezaji Haruna Niyonzima na kusema mchezaji huyo wameshampa mkono wa kwaheri  na aliwaambia kuna timu ina zhela nyingivna walishamruhusu na wala hayupo kwenye mipango ya timu wala hawana habari nae tena kwa hio hio ndio kauli ya timu kwamba mashabiki na wapenzi wa Yanga waelewe kuanzia leo kua hakuna tena Niyonzima  Yanga Africa
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment