News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Monday, 31 July 2017

BUSUNGU KUVAA UZI MWEKUNDU MSIMU UJAO ASAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA KUWATUMIKIA.....



Baadaya kumnasa Ditram Nchimbi kutoka Mbeya City ili kuimarisha safu yake ya ushambulizi, Lipuli ya Iringa imemnasa Malimi Busungu.

Busungu amejiunga na Lipuli kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Mshambuliaji huyo alikuwa hatari wakati akiwa Mgambo FC ya Tanga hadi alipojiunga Yanga.

Msimu wa kwanza akiwa Yanga alionyesha cheche lakini kuanzia katikati mambo yalibadilika mwisho akapotea mwelekeo.


Hata hivyo, Busungu niliwahi kufanya nae mahojiano tukiwa wote mzumbe  na aliniambia angependa kuondoka Yanga na kwenda kuanza upya na anajiamini atafanya vema.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment