BAADA YA TETESI KUA MORATA ANAENDA CHELSEA: SOMA ALICHOSEMA NA KILICHOTOKEA MAZOEZINI JANA MAREKANI...
Baada ya kuhusishwa na taharifa kutoka kua Timu yake ya Real Madrid na Chelea zimekubaliana kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo Habari ya tukio hilo aliipata akiwa mazoezini na wenzake akafatwa na gari kabla ya kuondoka ilibidi awakumbatie wachezaji wenzake awaage akaingia kwenye gari safari ya kurudi kwake kujiandaa kwenda airport kwa ajili ya maongezi rasmi juu ya yeye na Chelsea na kupanga tarehe rasmi ya kufanyiwa vipimo kwa hio kwa hatua hii ni wazi tayari sasa mchezaji huyu ni nusu na robo ya mali ya Chelsea
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
0 comments :
Post a Comment