News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Wednesday 19 July 2017

ARSENAL YAKATA UMEME KWENYE MAGRUPU YA SOKA MTANDAONI YAIPASUA BAYERN 4-3


Timu ya Arsenal imeshinda kwa mikwaju ya penalty dhidi ya Bayern Munich baada ya kutoka droo ya 1-1.
>>Magoli ya Lewandowsk dakika 9 na Iwobi dakika ya 90 yamefungwa ndani ya dakika 90.
Kipa wa Arsenal Emi Martinez ameokoa penalty mbili.

 SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment