Man city yaendelea kuwa nyanya kwa timu kubwa baada ya kukubali kichapo kutoka kwa majirani zao Man united mechi ambayo timu zote zilionekana kuikamia na kutia full vikosi lakini uzembe wa golikipa uliiponza Man city baada ya kurudisha pasi fupi iliyowahiwa na Romelu Lukaku na kuiweka Man united mbele wkiwa bado wamechanganyikia ndani ya dk ya 2 tu toka wafungwe goli la kwanza Mpemba kama wengi wanavyopenda kumuita Marcus Rashford akawanyanyua tena Man united kwa Goli tamu ambalo ndilo lililowafanya Man city wazidi kupagawa lakini hadi mwisho wa mchezo Man united 2 Man City 0
SHARE HABARI ILI WATU WENGI WAIONE BONYEZA SHARE KWA FACEBOOK HAPO CHINI
0 comments :
Post a Comment