News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday, 16 December 2016

MSHAHARA WA OSCAR NI KUFURU!! AWAPITA MESSI NA RONALDO KWA MBALI



KIUNGO wa Chelsea Oscar  atakuwa mwanasoka anayelipwa mshahara mkubwa zaidi pale atakapohamia Ligi ya China mwezi ujao.  Oscar yuko mbioni kukamilisha usajili wa pauni milioni 52 kwenda  Shanghai SIPG mwezi Januari. Nyota huyo wa Kibrazil anatarajiwa kulipwa pauni 400,000 kwa wiki na kuwaacha mbali Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ambao kila mmoja anakula mshahara wa pauni 365,000 kwa wiki.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment