News
Loading...
Image Map HII NI 24 RADIO SIKILIZA NA UTUTUMIE SMS KWENDA 0684 666320 KUHUSU UNAVYOTUSIKIA

Friday, 25 November 2016

BONDIA APIGWA ULINGONI MPAKA KIFO SOMA ZAIDI NA PICHA ZATUKIO HILI HAPA!!

Kuba Moczyk alifariki alipopigwa na kuanguka katika pigano lake la kwanza


Kuba Moczyk alifariki alipopigwa na kuanguka katika pigano lake la kwanza
Bondia mmoja aliyepata jeraha la kichwa katika pigano lake la kwanza amefariki.
Kuba Moczyk mwenye umri wa miaka 22 alipigwa knockout katika raundi ya tatu katika pigano la siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Towe Complex huko Yarmouth.
Familia yake imesema kuwa alifariki siku ya Jumatano usiku katika hospitali ya James Paget huko Gorleston,ambapo amekuwa bila fahamu na kwamba amekuwa akisaidiwa na mashine.
Mkufunzi wake Scott Osinski amesema siku ya Jumatano kwamba bwana Moczyk alikuwa anaelekea kupata ushindi kabla ya kupigwa konde hilo lililomuangusha.
Mpinzani wake alikuwa na umri wa miaka 17.
Share on Google Plus

About

0 comments :

Post a Comment